Swali: Je, kuhudhuria mihadhara kwa njia ya intaneti na kusikiliza mtu anapata ujira kama mfano wa ujira anaopata mtu kwa kuhudhuria misikitini kwa wanachuoni?
Jibu: Misikiti ina mambo yake maalum.
1) Kuna utulivu
2) Rehema.
3) Malaika.
4) Nyumba ya Allaah.
Kuhudhuria msikitini na kusikiliza darsa na mihadhara, bila ya shaka hili ni bora zaidi, sawa bila kujali sehemu yoyote ile.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13252
- Imechapishwa: 20/09/2020
Swali: Je, kuhudhuria mihadhara kwa njia ya intaneti na kusikiliza mtu anapata ujira kama mfano wa ujira anaopata mtu kwa kuhudhuria misikitini kwa wanachuoni?
Jibu: Misikiti ina mambo yake maalum.
1) Kuna utulivu
2) Rehema.
3) Malaika.
4) Nyumba ya Allaah.
Kuhudhuria msikitini na kusikiliza darsa na mihadhara, bila ya shaka hili ni bora zaidi, sawa bila kujali sehemu yoyote ile.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13252
Imechapishwa: 20/09/2020
https://firqatunnajia.com/kufuatilia-darsa-kwa-njia-ya-intaneti-ni-sawa-na-msikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)