Swali: Ni ipi hukumu ya kuweka kitu mdomoni kama vile karafuu wakati wa kuswali?
Jibu: Haijuzu kwa mwenye kuswali kuweka kitu mdomoni wakati wa kuswali. Kitu hicho kinamshughulisha kusoma au akahitaji kutafuna na kumeza, mambo ambayo yanapingana na swalah.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdul-´Aziyz Aalus-Shaykh
´Abdullaah bin Ghudayyaan
Swaalih al-Fawzaan
Bakr Abu Zayd
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (19811)
- Imechapishwa: 13/05/2022
Swali: Ni ipi hukumu ya kuweka kitu mdomoni kama vile karafuu wakati wa kuswali?
Jibu: Haijuzu kwa mwenye kuswali kuweka kitu mdomoni wakati wa kuswali. Kitu hicho kinamshughulisha kusoma au akahitaji kutafuna na kumeza, mambo ambayo yanapingana na swalah.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdul-´Aziyz Aalus-Shaykh
´Abdullaah bin Ghudayyaan
Swaalih al-Fawzaan
Bakr Abu Zayd
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (19811)
Imechapishwa: 13/05/2022
https://firqatunnajia.com/kitu-mdomoni-wakati-wa-kuswali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)