Swali: Ikiwa mwanamke mwenye hedhi ameridhia jimaa, je, ana kafara kama mume?
Jibu: Ikiwa ameridhia, bila ya shaka yuko na kafara. Ama ikiwa makusudio yake anataka kusema kuwa hakuridhia hilo, bi maana amelazimishwa, hana kafara.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13342
- Imechapishwa: 20/09/2020
Swali: Ikiwa mwanamke mwenye hedhi ameridhia jimaa, je, ana kafara kama mume?
Jibu: Ikiwa ameridhia, bila ya shaka yuko na kafara. Ama ikiwa makusudio yake anataka kusema kuwa hakuridhia hilo, bi maana amelazimishwa, hana kafara.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13342
Imechapishwa: 20/09/2020
https://firqatunnajia.com/kafara-kwa-mwanamke-aliyelazimishwa-jimaa-wakati-wa-hedhi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)