Kafara kwa mwanamke aliyelazimishwa jimaa wakati wa hedhi

Swali: Ikiwa mwanamke mwenye hedhi ameridhia jimaa, je, ana kafara kama mume?

Jibu: Ikiwa ameridhia, bila ya shaka yuko na kafara. Ama ikiwa makusudio yake anataka kusema kuwa hakuridhia hilo, bi maana amelazimishwa, hana kafara.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13342
  • Imechapishwa: 20/09/2020