Swali: Mswalaji anyanyue mikono katika Takbiyr zote za swalah ya jeneza?
Jibu: Maoni sahihi ni kuwa anyanyue mikono katika Takbiyr zote. Hilo limesihi kutoka kwa Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa). Kuna wanachuoni wanaosema kuwa mtu anyanyue katika Takbiyr ile ya kwanza tu. Lakini sahihi ni kwamba ni katika Takbiyr zote.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/134)
- Imechapishwa: 15/09/2021
Swali: Mswalaji anyanyue mikono katika Takbiyr zote za swalah ya jeneza?
Jibu: Maoni sahihi ni kuwa anyanyue mikono katika Takbiyr zote. Hilo limesihi kutoka kwa Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa). Kuna wanachuoni wanaosema kuwa mtu anyanyue katika Takbiyr ile ya kwanza tu. Lakini sahihi ni kwamba ni katika Takbiyr zote.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/134)
Imechapishwa: 15/09/2021
https://firqatunnajia.com/ibn-uthaymiyn-kuhusu-kunyanyua-mikono-wakati-wa-takbiyr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)