Swali: Ni ipi hukumu ya kugusa msahafu bila ya twahara?
Jibu: Maoni yenye nguvu kuhusiana na kugusa msahafu ni kwamba haifai isipokuwa kwa twahara. Inahusiana na hadathi zote mbili; hadathi kubwa na hadathi ndogo. Kuhusu usomaji wa Qur-aan inafaa kwa ambaye ana hadathi ndogo na wala haifai kwa ambaye ana hadathi kubwa mpaka kwanza aoge. Haya ndio maoni yenye nguvu juu ya masuala haya. Wanachuoni wametofautiana juu ya masuala haya. Lakini maoni ninayoona yana nguvu ni yale uliyosikia kutoka kwangu.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (77) http://binothaimeen.net/content/1767
- Imechapishwa: 15/09/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kugusa msahafu bila ya twahara?
Jibu: Maoni yenye nguvu kuhusiana na kugusa msahafu ni kwamba haifai isipokuwa kwa twahara. Inahusiana na hadathi zote mbili; hadathi kubwa na hadathi ndogo. Kuhusu usomaji wa Qur-aan inafaa kwa ambaye ana hadathi ndogo na wala haifai kwa ambaye ana hadathi kubwa mpaka kwanza aoge. Haya ndio maoni yenye nguvu juu ya masuala haya. Wanachuoni wametofautiana juu ya masuala haya. Lakini maoni ninayoona yana nguvu ni yale uliyosikia kutoka kwangu.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (77) http://binothaimeen.net/content/1767
Imechapishwa: 15/09/2020
https://firqatunnajia.com/ibn-uthaymiyn-kugusa-msahafu-bila-twahara/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)