Swali: Wakati nilipokuwa na gari nilikuwa ni mwenye kuhifadhi swalah zote msikitini. Baada ya hapo nikaiuza. Ni mtu mzee. Hivi sasa amekuwa ni mwenye kuswali nyumbani. Ni ipi hukumu?

Jibu: Hakuna neno. Msikiti ukiwa mbali na anahisi uzito inafaa kwake kuswali nyumbani.

  • Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (77) http://binothaimeen.net/content/1764
  • Imechapishwa: 12/09/2020