Swali: Baadhi ya nyakati namfanyia Twawaaf mmoja katika ndugu zangu, baba yangu au babu yangu ambaye kishafariki. Ni ipi hukumu ya hilo? Ni ipi hukumu ya kuwakhitimishia Qur-aan?
Jibu: Bora ni kuacha kufanya hivo kwa kutokuwa na dalili ya jambo hilo. Lakini imewekwa katika Shari´ah kumtolea swadaqah yule umtakaye katika ndugu zako au wengieno wakiwa ni waislamu, kuwaombea du´aa na kuwafanyia hajj na ´umrah.
Kuhusu kuswali kwa ajili yao, kuwafanyia Twawaaf na kuwasomea Qur-aan bora ni kutofanya hayo kwa kutokuwa na dalili ya mambo hayo. Baadhi ya wanachuoni wameyajuzisha mambo hayo kwa kutumia Qiyaas juu ya swadaqah na kuwaombea du´aa. Lakini lililo salama zaidi ni kuacha kufanya hivo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/900/%D8%AD%D9%83%D9%85-%D8%A7%D9%84%D8%B7%D9%88%D8%A7%D9%81-%D9%88%D8%AE%D8%AA%D9%85-%D8%A7%D9%84%D9%82%D8%B1%D8%A7%D9%86-%D9%84%D9%84%D8%A7%D9%85%D9%88%D8%A7%D8%AA
- Imechapishwa: 04/12/2019
Swali: Baadhi ya nyakati namfanyia Twawaaf mmoja katika ndugu zangu, baba yangu au babu yangu ambaye kishafariki. Ni ipi hukumu ya hilo? Ni ipi hukumu ya kuwakhitimishia Qur-aan?
Jibu: Bora ni kuacha kufanya hivo kwa kutokuwa na dalili ya jambo hilo. Lakini imewekwa katika Shari´ah kumtolea swadaqah yule umtakaye katika ndugu zako au wengieno wakiwa ni waislamu, kuwaombea du´aa na kuwafanyia hajj na ´umrah.
Kuhusu kuswali kwa ajili yao, kuwafanyia Twawaaf na kuwasomea Qur-aan bora ni kutofanya hayo kwa kutokuwa na dalili ya mambo hayo. Baadhi ya wanachuoni wameyajuzisha mambo hayo kwa kutumia Qiyaas juu ya swadaqah na kuwaombea du´aa. Lakini lililo salama zaidi ni kuacha kufanya hivo.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/900/%D8%AD%D9%83%D9%85-%D8%A7%D9%84%D8%B7%D9%88%D8%A7%D9%81-%D9%88%D8%AE%D8%AA%D9%85-%D8%A7%D9%84%D9%82%D8%B1%D8%A7%D9%86-%D9%84%D9%84%D8%A7%D9%85%D9%88%D8%A7%D8%AA
Imechapishwa: 04/12/2019
https://firqatunnajia.com/hukumu-ya-kutufu-na-kukhitimisha-qur-aan-kwa-ajili-ya-wafu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)