Swali: Shaykh! Ulibadilisha chochote kuhusiana na Yahyaa al-Hajuuriy kutokana na uliyosema?
Jibu: Hapana, sikubadilisha kitu na similiki kubadilisha kitu. Bado naonelea niliyoyasema. Sisi tuko na dalili ya Bid´ah na upotevu aliyomo. Miongoni mwa hayo ni haya yafuatayo:
1 – Maswahabah walishiriki katika kumuua ´Uthmaan.
2 – Watu wa Badr walimuasi Allaah mara tatu.
3 – Irjaa´ ilipoanza ilikuwa ni kupitia kwa Maswahabah. Akatolea kisa cha Abu Bakr na ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) kilichokuja katika Hadiyth.
Vilevile kuna mengine.
- Mhusika: Shaykh ´Ubayd bin ´Abdillaah al-Jaabiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/site/audios/Rodod/14AqwalOlamaaFiya7yaAl7ajori.mp3
- Imechapishwa: 06/09/2020
Swali: Shaykh! Ulibadilisha chochote kuhusiana na Yahyaa al-Hajuuriy kutokana na uliyosema?
Jibu: Hapana, sikubadilisha kitu na similiki kubadilisha kitu. Bado naonelea niliyoyasema. Sisi tuko na dalili ya Bid´ah na upotevu aliyomo. Miongoni mwa hayo ni haya yafuatayo:
1 – Maswahabah walishiriki katika kumuua ´Uthmaan.
2 – Watu wa Badr walimuasi Allaah mara tatu.
3 – Irjaa´ ilipoanza ilikuwa ni kupitia kwa Maswahabah. Akatolea kisa cha Abu Bakr na ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) kilichokuja katika Hadiyth.
Vilevile kuna mengine.
Mhusika: Shaykh ´Ubayd bin ´Abdillaah al-Jaabiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/site/audios/Rodod/14AqwalOlamaaFiya7yaAl7ajori.mp3
Imechapishwa: 06/09/2020
https://firqatunnajia.com/baadhi-ya-makosa-ya-yahyaa-al-hajuuriy-kwa-maswahabah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)