Anampiga Mtume mwanamke kusafiri na Mahram

Swali: Kuna wanaosema mwanamke hahitaji kuwa na Mahram katika safari yake naye ni katika watu wasiyokuwa na elimu.

Jibu: Yaani mtu huyu anamrudi Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)? Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:

“Si halali kwa mwanamke anayemwamini Allaah na siku ya mwisho kusafiri ila pamoja naye awe na mahram.”?

  • Mhusika: ´Allaamah Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://www.youtube.com/watch?v=OnLKLRCu238
  • Imechapishwa: 19/09/2020