Swali: Mwanamke akitoka nyumbani pasi na haja na akafanyiwa maudhiko na wanaume. Je, tumlaumu mwanamke kama jinsi tunamlaumu mwanaume pia?
Jibu: Tunawaulumu wote wawili. Tunawalaumu wote wawili, mwanaume ambaye hakumuhifadhi na mwanamke ambaye amefanya vibaya katika adabu na ameenda kinyume na linalolingana na mwanamke katika kujiheshimu.
Kutoka kwa mwanamke kuna khatari, hata kama itakuwa ni kwenda msikitini. Vipi tusemeje kutoka kwake kwenda mahala pasipokuwa msikitini? Kutoka kwa mwanamke kuna khatari. Lakini wako wapi wanaofahamu! Masuala haya ni khatari sana kwa leo juu ya qadhiya ya wanawake. Wanawake wamepewa uhuru katika pande zote. Tumeingiliwa na fikira za kimagharibi na adabu za kimagharibi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mntq-0601143503.mp3
- Imechapishwa: 10/09/2020
Swali: Mwanamke akitoka nyumbani pasi na haja na akafanyiwa maudhiko na wanaume. Je, tumlaumu mwanamke kama jinsi tunamlaumu mwanaume pia?
Jibu: Tunawaulumu wote wawili. Tunawalaumu wote wawili, mwanaume ambaye hakumuhifadhi na mwanamke ambaye amefanya vibaya katika adabu na ameenda kinyume na linalolingana na mwanamke katika kujiheshimu.
Kutoka kwa mwanamke kuna khatari, hata kama itakuwa ni kwenda msikitini. Vipi tusemeje kutoka kwake kwenda mahala pasipokuwa msikitini? Kutoka kwa mwanamke kuna khatari. Lakini wako wapi wanaofahamu! Masuala haya ni khatari sana kwa leo juu ya qadhiya ya wanawake. Wanawake wamepewa uhuru katika pande zote. Tumeingiliwa na fikira za kimagharibi na adabu za kimagharibi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mntq-0601143503.mp3
Imechapishwa: 10/09/2020
https://firqatunnajia.com/alaumiwe-mume-au-mke/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)