al-Fawzaan kuhusu Swalaat-ul-Tasbiyh

Swali: Ni ipi Swalaat-ut-Tasaabiyh na ni ipi hukumu yake?

Jibu: Hakuna haja ya kukutajia Swalaat-ut-Tasaabiyh kwa kuwa haikuthibiti kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Achana nayo. Hukumu yake ni kwamba ni Bid´ah. Maadamu haikuthibiti, ni Bid´ah.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mhdr-09-11-1432.mp3
  • Imechapishwa: 20/09/2020