Swali: Imepokelewa katika Hadiyth kutoka kwake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Yule atakayesoma Aayah mbili katika Suurah al-Baqarah usiku basi zitamtosheleza.”[1]
Mtu kwa mfano akizisoma katika swalah ya Maghrib zitamtosheleza?
Jibu: Bora mtu azisome baada ya swalah ya Maghrib au baada ya adhaana ya Maghrib. Lakini akizisoma ndani ya swalah basi anatakiwa azisome kwa nia isiyokuwa hii.
Neno “zitamtosheleza” imesemekana kuwa maana yake ni kwamba zitamtosheleza kutokamana na kila baya na pia imesemekana kwamba maana yake ni kuwa zitamtosheleza juu ya kusimama usiku kuswali.
[1] al-Bukhaariy pamoja na al-Fath (09/94) na Muslim (01/554). Tazama https://firqatunnajia.com/28-adhkaar-wakati-wa-kulala/
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (15)
- Imechapishwa: 07/09/2020
Swali: Imepokelewa katika Hadiyth kutoka kwake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Yule atakayesoma Aayah mbili katika Suurah al-Baqarah usiku basi zitamtosheleza.”[1]
Mtu kwa mfano akizisoma katika swalah ya Maghrib zitamtosheleza?
Jibu: Bora mtu azisome baada ya swalah ya Maghrib au baada ya adhaana ya Maghrib. Lakini akizisoma ndani ya swalah basi anatakiwa azisome kwa nia isiyokuwa hii.
Neno “zitamtosheleza” imesemekana kuwa maana yake ni kwamba zitamtosheleza kutokamana na kila baya na pia imesemekana kwamba maana yake ni kuwa zitamtosheleza juu ya kusimama usiku kuswali.
[1] al-Bukhaariy pamoja na al-Fath (09/94) na Muslim (01/554). Tazama https://firqatunnajia.com/28-adhkaar-wakati-wa-kulala/
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (15)
Imechapishwa: 07/09/2020
https://firqatunnajia.com/aayah-mbili-za-al-baqarah-zitamtosheleza-anayezisoma-usiku/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)