Swali 41: Je, inafaa kwa msafiri wakati anaposwali swalah ya ijumaa pamoja na wanyeji akaikusanya na ´Aswr[1]?
Jibu: Haijuzu kwake kufanya hivo. Kwa sababu swalah ya ijumaa haikusanywi na chochote. Bali ni lazima kwake kuswali ´Aswr ndani ya wakati wake. Lakini msafiri akiswali siku ya ijumaa Dhuhr na hakujaaliwa kuswali swalah ya ijumaa pamoja na wakazi, basi hapana vibaya kwake kuikusanya pamoja na ´Aswr. Kwa sababu msafiri hana swalah ya ijumaa. Jengine ni kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikusanya kati ya Dhuhr na ´Aswr katika hijjah ya kuaga siku ya ´Arafah kwa kutolewa adhaana moja na kukimiwa mara mbili na hakuswali ijumaa.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (12/300-301).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Musaafir, uk. 57-58
- Imechapishwa: 15/05/2022
Swali 41: Je, inafaa kwa msafiri wakati anaposwali swalah ya ijumaa pamoja na wanyeji akaikusanya na ´Aswr[1]?
Jibu: Haijuzu kwake kufanya hivo. Kwa sababu swalah ya ijumaa haikusanywi na chochote. Bali ni lazima kwake kuswali ´Aswr ndani ya wakati wake. Lakini msafiri akiswali siku ya ijumaa Dhuhr na hakujaaliwa kuswali swalah ya ijumaa pamoja na wakazi, basi hapana vibaya kwake kuikusanya pamoja na ´Aswr. Kwa sababu msafiri hana swalah ya ijumaa. Jengine ni kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikusanya kati ya Dhuhr na ´Aswr katika hijjah ya kuaga siku ya ´Arafah kwa kutolewa adhaana moja na kukimiwa mara mbili na hakuswali ijumaa.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (12/300-301).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Musaafir, uk. 57-58
Imechapishwa: 15/05/2022
https://firqatunnajia.com/41-inafaa-kukusanya-dhuhr-na-aswr-siku-ya-ijumaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)