Swali 40: Ni ´ibaadah ipi ya kwanza iliyowekwa katika Shari´ah mwaka wa kwanza baada ya kuhajiri?
Jibu: Waliswali hali ya kuelekea Yerusalemu kwa miezi kumi na saba. Mwaka huohuo kukafarahishwa kupambana jihaad. Tarehe 12 Rabiy´ al-Aakhir swalah zikakamilishwa Rak´ah nne kwa wale ambao ni wakazi na kukawekwa Shari´ah ya kutoa adhaana unapoingia wakati wa swalah.
- Muhusika: ´Allaamah Haafidhw bin Ahmad al-Hakamiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Amaaliy fiys-Siyrah an-Nabawiyyah, uk. 107
- Imechapishwa: 06/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
