Swali: Ni sahihi kusema “dini za kimbingu” wakati mtu anakusudia uyahudi, unaswara na Uislamu?
Jibu: Msingi wa dini ya uyahudi na unaswara zinatoka katika Tawraat na Injiyl. Ni vitabu viwili vilivyoteremshwa kutoka kwa Allaah. Kimsingi ni dini za kimbingu. Lakini hata hivyo zimepotoshwa, zimebadilishwa na kugeuzwa. Baadaye zikafutwa kwa Qur-aan tukufu kwa Shari´ah ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Lakini zinaitwa hivo kwa kuzingatia ule msingi wake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ma´aalim Manhaj Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah, uk. 46
- Imechapishwa: 29/05/2021
Swali: Ni sahihi kusema “dini za kimbingu” wakati mtu anakusudia uyahudi, unaswara na Uislamu?
Jibu: Msingi wa dini ya uyahudi na unaswara zinatoka katika Tawraat na Injiyl. Ni vitabu viwili vilivyoteremshwa kutoka kwa Allaah. Kimsingi ni dini za kimbingu. Lakini hata hivyo zimepotoshwa, zimebadilishwa na kugeuzwa. Baadaye zikafutwa kwa Qur-aan tukufu kwa Shari´ah ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Lakini zinaitwa hivo kwa kuzingatia ule msingi wake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ma´aalim Manhaj Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah, uk. 46
Imechapishwa: 29/05/2021
https://firqatunnajia.com/zimepotoshwa-kubadilishwa-na-kugeuzwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)