Swali: Mimi ni kijana ambaye napenda kuchukua picha na kuhifadhi picha. Hakupitiki mnasaba wowote isipokuwa huchukua picha kwa ajili ya kumbukumbu. Picha hizi nazihifadhi ndani ya albamu. Kunaweza kupita miezi kadhaa kabla sijafungua albamu hii na kutazama picha hizi. Ni ipi hukumu ya picha hizi ambazo nachukua na kuzihifadhi?
Jibu: Ni wajibu kwako kutubia kwa Allaah (´Azza wa Jall) kutokana na ulichokifanya na uzichome moto picha zote ulizohifadhi. Kwa sababu haijuzu kuhifadhi picha kwa ajili ya kumbukumbu. Upesiupesi zichome moto pale tu utaposikia maneno haya.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=CFr4KOOC_oA&feature=youtu.be
- Imechapishwa: 15/04/2018
Swali: Mimi ni kijana ambaye napenda kuchukua picha na kuhifadhi picha. Hakupitiki mnasaba wowote isipokuwa huchukua picha kwa ajili ya kumbukumbu. Picha hizi nazihifadhi ndani ya albamu. Kunaweza kupita miezi kadhaa kabla sijafungua albamu hii na kutazama picha hizi. Ni ipi hukumu ya picha hizi ambazo nachukua na kuzihifadhi?
Jibu: Ni wajibu kwako kutubia kwa Allaah (´Azza wa Jall) kutokana na ulichokifanya na uzichome moto picha zote ulizohifadhi. Kwa sababu haijuzu kuhifadhi picha kwa ajili ya kumbukumbu. Upesiupesi zichome moto pale tu utaposikia maneno haya.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=CFr4KOOC_oA&feature=youtu.be
Imechapishwa: 15/04/2018
https://firqatunnajia.com/zichome-moto-picha-ulizohifadhi-sasa-hivi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)