Swali: Nilifungua akaunti katika benki ya ar-Raajihiy ambapo idara ya wanawake ikanipigia simu na kunipa zawadi ya saa mkabala wa salio. Saa hiyo niifanye nini?
Jibu: Wameona kuwa pesa zake ni nyingi ndio wakasema kuwa anastahiki zawadi hiyo ya saa.
Swali: Nilipokea saa hiyo. Niifanye nini?
Jibu: Salama zaidi na kinachodhihiri ni yeye aiuze na atoe swadaqah pesa atayokuwa amepata. Vinginevyo awarudishie ili wafahamu kuwa kitendo hicho si kizuri.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21588/حكم-هدايا-البنوك-للعملاء-مقابل-الرصيد
- Imechapishwa: 29/09/2022
Swali: Nilifungua akaunti katika benki ya ar-Raajihiy ambapo idara ya wanawake ikanipigia simu na kunipa zawadi ya saa mkabala wa salio. Saa hiyo niifanye nini?
Jibu: Wameona kuwa pesa zake ni nyingi ndio wakasema kuwa anastahiki zawadi hiyo ya saa.
Swali: Nilipokea saa hiyo. Niifanye nini?
Jibu: Salama zaidi na kinachodhihiri ni yeye aiuze na atoe swadaqah pesa atayokuwa amepata. Vinginevyo awarudishie ili wafahamu kuwa kitendo hicho si kizuri.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21588/حكم-هدايا-البنوك-للعملاء-مقابل-الرصيد
Imechapishwa: 29/09/2022
https://firqatunnajia.com/zawadi-ya-benki-ii/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)