Swali: Kuna mtu amejitolea Zakaat-ul-Fitwr yeye mwenyewe na familia yake. Kisha akamtolea dada wa mke wake na mvulana wake. Dada wa mke ni muweza wa kujitolea zakaah yeye mwenyewe. Nikamwambia kwamba yeye ajitolee mwenyewe ambapo baadaye akanipa kiwango kilekile nilichomtolea yeye na mvulana wake. Je, inatosha?
Jibu: Midhali amemtolea kwa idhini yake, lengo limefikiwa. Hakuna haja ya mlolongo wote huu. Inajuzu kumlipia mwengine, jambo ambalo limetokea katika hali hii. Hakuna haja ya mlolongo wote huu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (12) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdah%20Fiqh-19-10-1434_0.mp3
- Imechapishwa: 17/09/2017
Swali: Kuna mtu amejitolea Zakaat-ul-Fitwr yeye mwenyewe na familia yake. Kisha akamtolea dada wa mke wake na mvulana wake. Dada wa mke ni muweza wa kujitolea zakaah yeye mwenyewe. Nikamwambia kwamba yeye ajitolee mwenyewe ambapo baadaye akanipa kiwango kilekile nilichomtolea yeye na mvulana wake. Je, inatosha?
Jibu: Midhali amemtolea kwa idhini yake, lengo limefikiwa. Hakuna haja ya mlolongo wote huu. Inajuzu kumlipia mwengine, jambo ambalo limetokea katika hali hii. Hakuna haja ya mlolongo wote huu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (12) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdah%20Fiqh-19-10-1434_0.mp3
Imechapishwa: 17/09/2017
https://firqatunnajia.com/zakaat-ul-fitwr-kwa-dada-wa-mke-na-mwanae/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)