30Zaka za mazao iwe ni nafaka au matunda ya miti, yote ni mali ya Mwenyezi Mungu; ni takatifu kwa Mwenyezi Mungu. 31Kama mtu akitaka kuikomboa zaka yake, atalipa thamani yake na kuongeza asilimia ishirini ya thamani ya zaka hiyo. 32Kuhusu mifugo, inapohesabiwa, kila mnyama wa kumi ni mtakatifu kwa Mwenyezi Mungu. 33Mtu yeyote hana ruhusa kuuliza kama mnyama huyo ni mzuri au mbaya wala mnyama huyo kamwe hatabadilishwa kwa mwingine. Kama akibadilishwa kwa mwingine, wanyama wote wawili watakuwa watakatifu; hawatakombolewa.” 34Hizo ndizo amri ambazo Mwenyezi Mungu alimwamuru Mose ili awaambie waisraeli, mlimani Sinai.
- Marejeo: Walawi 27:30-34
- Imechapishwa: 02/02/2020
30Zaka za mazao iwe ni nafaka au matunda ya miti, yote ni mali ya Mwenyezi Mungu; ni takatifu kwa Mwenyezi Mungu. 31Kama mtu akitaka kuikomboa zaka yake, atalipa thamani yake na kuongeza asilimia ishirini ya thamani ya zaka hiyo. 32Kuhusu mifugo, inapohesabiwa, kila mnyama wa kumi ni mtakatifu kwa Mwenyezi Mungu. 33Mtu yeyote hana ruhusa kuuliza kama mnyama huyo ni mzuri au mbaya wala mnyama huyo kamwe hatabadilishwa kwa mwingine. Kama akibadilishwa kwa mwingine, wanyama wote wawili watakuwa watakatifu; hawatakombolewa.” 34Hizo ndizo amri ambazo Mwenyezi Mungu alimwamuru Mose ili awaambie waisraeli, mlimani Sinai.
Marejeo: Walawi 27:30-34
Imechapishwa: 02/02/2020
https://firqatunnajia.com/zakaah-ni-miongoni-mwa-amri-za-mola-aliwaamuru-mitume-yake-mwa-mujibu-wa-biblia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)