575- Nilimsikia Ahmad akiulizwa kuhusu bwana mmoja ambaye anatoa zakaah kumpa mwanae. Akajibu: “Asimpe mwanae, mtoto wa mvulana wake wala mtoto wa msichana wake, kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema kuhusu al-Hasan (Radhiya Allaahu ´anh):
“Hakika mtoto wangu huyu ni bwana na Allaah atayakusanya makundi mawili ya waislamu yanayopigana kupitia kwake.”[1]
Amemwita mtoto. Wala haifai akatoa zakaah kuwapa wazazi wake.
[1] al-Bukhaariy (3/243).
- Mhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 119
- Imechapishwa: 20/02/2021
575- Nilimsikia Ahmad akiulizwa kuhusu bwana mmoja ambaye anatoa zakaah kumpa mwanae. Akajibu: “Asimpe mwanae, mtoto wa mvulana wake wala mtoto wa msichana wake, kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema kuhusu al-Hasan (Radhiya Allaahu ´anh):
“Hakika mtoto wangu huyu ni bwana na Allaah atayakusanya makundi mawili ya waislamu yanayopigana kupitia kwake.”[1]
Amemwita mtoto. Wala haifai akatoa zakaah kuwapa wazazi wake.
[1] al-Bukhaariy (3/243).
Mhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 119
Imechapishwa: 20/02/2021
https://firqatunnajia.com/zakaah-kuwapa-watoto-na-wazazi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)