576- Nilimsikia Ahmad akisema:
“Mume asimpe zakaah mke wake.”
Nilimuuliza swali hilo mara nyingi na kila mara hunipa jibu kama hilo.
Aliulizwa kuhusu zakaah kuwapa ndugu kaka na dada ambapo akajibu:
“Hakuna neno ikiwa lengo la kufanya hivo sio kukinga kitu au kuondosha kitu kibaya.”
- Mhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 119
- Imechapishwa: 27/02/2021
576- Nilimsikia Ahmad akisema:
“Mume asimpe zakaah mke wake.”
Nilimuuliza swali hilo mara nyingi na kila mara hunipa jibu kama hilo.
Aliulizwa kuhusu zakaah kuwapa ndugu kaka na dada ambapo akajibu:
“Hakuna neno ikiwa lengo la kufanya hivo sio kukinga kitu au kuondosha kitu kibaya.”
Mhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 119
Imechapishwa: 27/02/2021
https://firqatunnajia.com/zakaah-kumpa-mke-na-kaka-na-dada/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)