Swali: Je, inafaa kumpa zakaah mama mkwe au kaka yake?
Jibu: Ndio, wakiwa ni wahitaji. Ambao hawajuzu ni wale wazazi na watoto. Haifai kumpa baba yako na haifai kwa baba yako kukupa zakaah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
- Imechapishwa: 25/02/2022
Swali: Je, inafaa kumpa zakaah mama mkwe au kaka yake?
Jibu: Ndio, wakiwa ni wahitaji. Ambao hawajuzu ni wale wazazi na watoto. Haifai kumpa baba yako na haifai kwa baba yako kukupa zakaah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
Imechapishwa: 25/02/2022
https://firqatunnajia.com/zakaah-kumpa-mama-mkwe-na-shemeji/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)