Swali: Ikiwa mwanamke anapenda kubaki nyumbani kwake na anaona ni bora kubaki humo na hatoki hata kwenda msikitini. Na mwanamke mwingine ambaye anatoka kwenda kutafuta elimu na kwenda msikitini. Yupi bora kati ya hawa wawili?
Jibu: Mwanamke ambaye anapenda kubaki kwake na kusoma nyumbani kwake ndio bora. Kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anasema:
“Msiwazuia waja wa Allaah kwenda kwenye misikiti ya Allaah na nyumba zao ni bora kwao.”
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=557
- Imechapishwa: 19/09/2020
Swali: Ikiwa mwanamke anapenda kubaki nyumbani kwake na anaona ni bora kubaki humo na hatoki hata kwenda msikitini. Na mwanamke mwingine ambaye anatoka kwenda kutafuta elimu na kwenda msikitini. Yupi bora kati ya hawa wawili?
Jibu: Mwanamke ambaye anapenda kubaki kwake na kusoma nyumbani kwake ndio bora. Kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anasema:
“Msiwazuia waja wa Allaah kwenda kwenye misikiti ya Allaah na nyumba zao ni bora kwao.”
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=557
Imechapishwa: 19/09/2020
https://firqatunnajia.com/yupi-bora-kati-ya-wanawake-hawa-wawili/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)