Swali: Baadhi wanasema kuwa hawamnasihi mtu kusoma vitabu vya Shaykh Rabiy´ kwa sababu ndani yake mna ukali. Je, haya ni kweli?
Jibu: Vitabu vya Shaykh Rabiy´ ni vitabu vya Sunnah na itikadi ambazo ni sahihi na zinapambana dhidi ya Bid´ah na kuwalingania watu katika mwenendo mzuri na kuzintengeneza imani za watu na mifumo yao. Haya ndio yenye kutambulika juu ya vitabu vya Shaykh Rabiy´. Yule anayetahadharisha vitabu vyake moyoni mwake mna maradhi; ugonjwa wa Bid´ah na mambo ya utata. Kwa hivyo ni lazima kwake ajirudi juu ya kitendo hichi ambacho ndio sababu ya kuadhibiwa – na ulinzi ni wenye kuombwa kwa Allaah.
- Mhusika: ´Allaamah Zayd bin Muhammad al-Madkhaliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.njza.net/MultimediaDetails_ar.aspx?ID=268&size=2&ext=.mp3
- Imechapishwa: 17/01/2021
Swali: Baadhi wanasema kuwa hawamnasihi mtu kusoma vitabu vya Shaykh Rabiy´ kwa sababu ndani yake mna ukali. Je, haya ni kweli?
Jibu: Vitabu vya Shaykh Rabiy´ ni vitabu vya Sunnah na itikadi ambazo ni sahihi na zinapambana dhidi ya Bid´ah na kuwalingania watu katika mwenendo mzuri na kuzintengeneza imani za watu na mifumo yao. Haya ndio yenye kutambulika juu ya vitabu vya Shaykh Rabiy´. Yule anayetahadharisha vitabu vyake moyoni mwake mna maradhi; ugonjwa wa Bid´ah na mambo ya utata. Kwa hivyo ni lazima kwake ajirudi juu ya kitendo hichi ambacho ndio sababu ya kuadhibiwa – na ulinzi ni wenye kuombwa kwa Allaah.
Mhusika: ´Allaamah Zayd bin Muhammad al-Madkhaliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.njza.net/MultimediaDetails_ar.aspx?ID=268&size=2&ext=.mp3
Imechapishwa: 17/01/2021
https://firqatunnajia.com/yule-anayetahadharisha-vitabu-vya-shaykh-rabiy-ni-mgonjwa-wa-moyo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)