Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Jilazimieni na Sunnah zangu na Sunnah za makhaliyfah wangu waongofu na wenye kuongoza baada yangu.”[1]
Sunnah za makhaliyfah waongofu kunamaanishwa yale waliyokubaliana na sio yale ambayo amepwekeka nayo mmoja wao?
Jibu: Ni yale waliyokubaliana na yale ambayo mmoja wao amepwekeka nayo. Yote ni katika Sunnah za makhaliyfah waongofu.
[1] Abu Daawuud (4607), at-Tirmidhiy (2676) na Ibn Maajah (34). Swahiyh kwa mujibu wa katika ”al-Irwaa’” (2455).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (81) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-1-3-1439-01.mp3
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Jilazimieni na Sunnah zangu na Sunnah za makhaliyfah wangu waongofu na wenye kuongoza baada yangu.”[1]
Sunnah za makhaliyfah waongofu kunamaanishwa yale waliyokubaliana na sio yale ambayo amepwekeka nayo mmoja wao?
Jibu: Ni yale waliyokubaliana na yale ambayo mmoja wao amepwekeka nayo. Yote ni katika Sunnah za makhaliyfah waongofu.
[1] Abu Daawuud (4607), at-Tirmidhiy (2676) na Ibn Maajah (34). Swahiyh kwa mujibu wa katika ”al-Irwaa’” (2455).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (81) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-1-3-1439-01.mp3
https://firqatunnajia.com/yote-mawili-ni-sunnah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)