47Basi alipokuwa katika kusema Yuda akaja, mmoja wa wale kumi na mbili, na pamoja naye kundi kubwa wenye panga na marungu, wametumwa na wakuu wa makuhani na wazee wa watu. 48Na yule mwenye kumsaliti alikuwa amewapa ishara: “Yule nitakayembusu, basi huyo ndiye, mkamateni.” 49Mara akamwendea Yesu, akamsalimia na kusema Rabi na kumbusu.”
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mathayo 26:47-49
- Imechapishwa: 29/02/2020
47Basi alipokuwa katika kusema Yuda akaja, mmoja wa wale kumi na mbili, na pamoja naye kundi kubwa wenye panga na marungu, wametumwa na wakuu wa makuhani na wazee wa watu. 48Na yule mwenye kumsaliti alikuwa amewapa ishara: “Yule nitakayembusu, basi huyo ndiye, mkamateni.” 49Mara akamwendea Yesu, akamsalimia na kusema Rabi na kumbusu.”
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mathayo 26:47-49
Imechapishwa: 29/02/2020
https://firqatunnajia.com/yesu-hakusulubiwa-msalabani-kwa-mujibu-wa-biblia-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)