39Yesu akatoka akaenda kwenye Mlima wa Mizeituni kama ilivyokuwa kawaida yake, nao wanafunzi wake wakamfuata. 40Walipofika huko, akawaambia wanafunzi wake: “Ombeni msije mkaangukia majaribuni.” 41Akajitenga nao, kama umbali wa kutupa jiwe, akapiga magoti na akaomba 42akisema: “Baba! Kama ni mapenzi yako, niondolee kikombe hiki, lakini si kama mimi nipendavyo, bali mapenzi yako yatendeke.” 43Malaika kutoka mbinguni akamtokea, akamtia nguvu. 44Naye akiwa katika maumivu makuu, akaomba kwa bidii, nalo jasho lake likawa kama matone ya damu yakidondoka ardhini.
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Luka 22:39-44
- Imechapishwa: 16/01/2020
39Yesu akatoka akaenda kwenye Mlima wa Mizeituni kama ilivyokuwa kawaida yake, nao wanafunzi wake wakamfuata. 40Walipofika huko, akawaambia wanafunzi wake: “Ombeni msije mkaangukia majaribuni.” 41Akajitenga nao, kama umbali wa kutupa jiwe, akapiga magoti na akaomba 42akisema: “Baba! Kama ni mapenzi yako, niondolee kikombe hiki, lakini si kama mimi nipendavyo, bali mapenzi yako yatendeke.” 43Malaika kutoka mbinguni akamtokea, akamtia nguvu. 44Naye akiwa katika maumivu makuu, akaomba kwa bidii, nalo jasho lake likawa kama matone ya damu yakidondoka ardhini.
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Luka 22:39-44
Imechapishwa: 16/01/2020
https://firqatunnajia.com/yesu-akimuomba-na-akidhihirisha-unyonge-wake-kwa-mola-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)