Swali: Je, Ya´juuj na Ma´juuj watakuwa wengi au wale ambao walifungiwa na Dhul-Qarnayn ndio ambao watatoka siku ya Qiyaamah?
Jibu: Allaah ndiye anajua zaidi. Udhahiri ni kwamba watakuwa wengi. Kwa sababu ni katika Ummah wa wana wa Aadam.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (13) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191589#219913
- Imechapishwa: 22/11/2019
Swali: Je, Ya´juuj na Ma´juuj watakuwa wengi au wale ambao walifungiwa na Dhul-Qarnayn ndio ambao watatoka siku ya Qiyaamah?
Jibu: Allaah ndiye anajua zaidi. Udhahiri ni kwamba watakuwa wengi. Kwa sababu ni katika Ummah wa wana wa Aadam.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (13) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191589#219913
Imechapishwa: 22/11/2019
https://firqatunnajia.com/yajuuj-na-majuuj-watakuwa-wengi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)