Swali: Wudhuu´ wa mtu ni sahihi akiwa na mafuta mikononi mwake?
Jibu: Ndio, wudhuu´ wake ni sahihi kwa sharti mafuta haya yasiwe yanazuia maji kufika kwenye [ngozi]. Ikiwa mafuta haya ya kuganda yanazuia maji kufika, basi ni lazima kuyaondosha kwanza kabla ya kutawadha.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/147)
- Imechapishwa: 30/06/2017
Swali: Wudhuu´ wa mtu ni sahihi akiwa na mafuta mikononi mwake?
Jibu: Ndio, wudhuu´ wake ni sahihi kwa sharti mafuta haya yasiwe yanazuia maji kufika kwenye [ngozi]. Ikiwa mafuta haya ya kuganda yanazuia maji kufika, basi ni lazima kuyaondosha kwanza kabla ya kutawadha.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/147)
Imechapishwa: 30/06/2017
https://firqatunnajia.com/wudhuu-wa-mtu-aliye-na-mafuta-ya-mgando-ni-sahihi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)