Swali: Ni ipi hukumu ya kutawadha kwa maji ya zamzam?
Jibu: Hakuna neno. Maji ya zamzam ni maji matukufu. Sahihi ni kwamba hakuna neno kuyatawadha. Kuna baadhi ya wanachuoni wanaona kuwa mtu asijisafishe nayo chooni. Maoni sahihi ni kwamba ajisafishe.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
- Imechapishwa: 01/05/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kutawadha kwa maji ya zamzam?
Jibu: Hakuna neno. Maji ya zamzam ni maji matukufu. Sahihi ni kwamba hakuna neno kuyatawadha. Kuna baadhi ya wanachuoni wanaona kuwa mtu asijisafishe nayo chooni. Maoni sahihi ni kwamba ajisafishe.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
Imechapishwa: 01/05/2018
https://firqatunnajia.com/wudhuu-kwa-maji-ya-zamzam/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)