Swali: Kumfanyia uasi mtawala kunakuwa kwa silaha peke yake au kunaingia vilevile kuwaponda watawala?
Jibu: Yote mawili ni kufanya uasi. Yule ambaye anawachochea watu kwa maneno huyu ni katika wakaaji. Ibaadhiyyah ni katika wakaaji. Wanachochea katika Jihaad lakini wao hawatoki. Wanawachochea watu lakini wao hawatoki. Hawa ni Khawaarij wenye kukaa. Wanaitwa ´wakaaji`. Kuhusu yule anayefanya uasi kwa silaha jambo lake liko wazi ya kwamba ni Khaarijiy. Huyu amefanya uasi kwa silaha. Wote wawili ni Khawaarij. Ni mamoja huyu na yule.
- Mhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Usuwl-is-Sunnah, uk. 61
- Imechapishwa: 30/07/2017
Swali: Kumfanyia uasi mtawala kunakuwa kwa silaha peke yake au kunaingia vilevile kuwaponda watawala?
Jibu: Yote mawili ni kufanya uasi. Yule ambaye anawachochea watu kwa maneno huyu ni katika wakaaji. Ibaadhiyyah ni katika wakaaji. Wanachochea katika Jihaad lakini wao hawatoki. Wanawachochea watu lakini wao hawatoki. Hawa ni Khawaarij wenye kukaa. Wanaitwa ´wakaaji`. Kuhusu yule anayefanya uasi kwa silaha jambo lake liko wazi ya kwamba ni Khaarijiy. Huyu amefanya uasi kwa silaha. Wote wawili ni Khawaarij. Ni mamoja huyu na yule.
Mhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Usuwl-is-Sunnah, uk. 61
Imechapishwa: 30/07/2017
https://firqatunnajia.com/wote-wawili-ni-khawaarij/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)