“Wewe huna faida ya kufuatilia darsa”

Swali: Ni zipi dalili kutoka katika Qur-aan au Sunnah juu ya kitenguzi hichi cha tisa miongoni mwa vichenguzi vya Uislamu[1]?

Jibu: Kwa kweli ikiwa hukusikia Aayah tulizozisoma basi wewe huna faida.

[1] Kitenguzi cha tisa https://firqatunnajia.com/134-kitenguzi-cha-tisa-mwenye-kuitakidi-kwamba-baadhi-ya-watu-wanaweza-kutoka-katika-shariah-ya-muhammad/

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam (09) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/09.mp3
  • Imechapishwa: 23/03/2019