Swali: Unasemaje kwa yule mwenye kuwatukana watawala kwa sababu ya uhuru wa demokrasia?
Jibu: Madhehebu ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah ni kutofanya uasi kwa mtawala. Uasi unaweza kuwa kwa maneno, kutweza au kuwatusi, na kubebea silaha dhidi yao. Yote hayo ni kuwafanyia uasi watawala. Badala yake mtu anatakiwa kuwa na subira juu ya haki, kusaidiana katika wema na uchaji Allaah, kusubiria nyakati bora na kutokatika moyo. Hii ndio njia ya waumini.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.miraath.net/ar/content/%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%AD%D8%A7%D8%B6%D8%B1%D8%A7%D8%AA/%D9%88%D8%B5%D8%A7%D9%8A%D8%A7-%D9%85%D9%87%D9%85%D8%A9-%D9%81%D9%8A-%D8%B2%D9%85%D9%86-%D8%A7%D9%84%D9%81%D8%AA%D9%86
- Imechapishwa: 16/09/2017
Swali: Unasemaje kwa yule mwenye kuwatukana watawala kwa sababu ya uhuru wa demokrasia?
Jibu: Madhehebu ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah ni kutofanya uasi kwa mtawala. Uasi unaweza kuwa kwa maneno, kutweza au kuwatusi, na kubebea silaha dhidi yao. Yote hayo ni kuwafanyia uasi watawala. Badala yake mtu anatakiwa kuwa na subira juu ya haki, kusaidiana katika wema na uchaji Allaah, kusubiria nyakati bora na kutokatika moyo. Hii ndio njia ya waumini.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.miraath.net/ar/content/%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%AD%D8%A7%D8%B6%D8%B1%D8%A7%D8%AA/%D9%88%D8%B5%D8%A7%D9%8A%D8%A7-%D9%85%D9%87%D9%85%D8%A9-%D9%81%D9%8A-%D8%B2%D9%85%D9%86-%D8%A7%D9%84%D9%81%D8%AA%D9%86
Imechapishwa: 16/09/2017
https://firqatunnajia.com/waumini-na-watawala/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)