Watu wasiostahiki kupata ufalme wa Mungu katika Biblia

9Je, hamjui kwamba wasio haki hawataurithi Ufalme wa Mungu? Msidanganyike! Waasherati hawaurithi Ufalme wa Mungu, wala waombao sanamu, wala wale wanaofanya mapenzi ya jinsia moja, wala walawiti, 10wala wezi, wala wenye tamaa mbaya, wala walafi, wala wanaodhihaki, wala wanyang’anyi.

  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Wakorintho 6:09-10
  • Imechapishwa: 04/11/2017