Hatutakiwi kufahamu Qur-aan na Sunnah kwa mujibu wa fahamu zetu fupi. Viwili hivyo vinatakiwa kufahamika kwa mujibu wa as-Salaaf as-Swaalih:
فَإِنْ آمَنُوا بِمِثْلِ مَا آمَنتُم بِهِ فَقَدِ اهْتَدَوا
“Basi wakiamini kama vile mlivyoyaamini nyinyi, basi kwa hakika watakuwa wameongoka.” (02:137)
Bi maana Qur-aan na Sunnah kwa uelewa wa Maswahabah:
وَّإِن تَوَلَّوْا
“… na wakikengeuka… “
Bi maana wanafuata Qur-aan na Sunnah lakini sio kwa ufahamu wa Maswahabah, bali kwa ufahamu wa Sayyid Qutwub, Muhammad Qutwub, Hasan al-Bannaa, Muhammad Suruur na wapotevu wengine waliokuja nyuma. Wakikataa kuwa na uelewa kama waliokuja nao Maswahabah:
وَّإِن تَوَلَّوْا فَإِنَّمَا هُمْ فِي شِقَاقٍ
“… na wakikengeuka basi hakika wao wamo katika upinzani… “
Wanafanya mipasuko, wanatawanyisha, wanasababisha fitina, wanaleta matatizo, wanaua, vita, wanaandamana, wanachokoza, wanafunga umeme na maji, wanavunja mimea na majanga chungunzima:
وَّإِن تَوَلَّوْا فَإِنَّمَا هُمْ فِي شِقَاقٍ ۖ فَسَيَكْفِيكَهُمُ اللَّـهُ ۚ وَهُوَ السَّمِيعُ الْعَلِيمُ
“… na wakikengeuka basi hakika wao wamo katika upinzani, basi Allaah Atakutosheleza nao – Naye ni Mwenye kusikia, Mjuzi wa yote.” (02:137)
- Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wasswaabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://olamayemen.al3ilm.com/
- Imechapishwa: 22/05/2022
Hatutakiwi kufahamu Qur-aan na Sunnah kwa mujibu wa fahamu zetu fupi. Viwili hivyo vinatakiwa kufahamika kwa mujibu wa as-Salaaf as-Swaalih:
فَإِنْ آمَنُوا بِمِثْلِ مَا آمَنتُم بِهِ فَقَدِ اهْتَدَوا
“Basi wakiamini kama vile mlivyoyaamini nyinyi, basi kwa hakika watakuwa wameongoka.” (02:137)
Bi maana Qur-aan na Sunnah kwa uelewa wa Maswahabah:
وَّإِن تَوَلَّوْا
“… na wakikengeuka… ”
Bi maana wanafuata Qur-aan na Sunnah lakini sio kwa ufahamu wa Maswahabah, bali kwa ufahamu wa Sayyid Qutwub, Muhammad Qutwub, Hasan al-Bannaa, Muhammad Suruur na wapotevu wengine waliokuja nyuma. Wakikataa kuwa na uelewa kama waliokuja nao Maswahabah:
وَّإِن تَوَلَّوْا فَإِنَّمَا هُمْ فِي شِقَاقٍ
“… na wakikengeuka basi hakika wao wamo katika upinzani… ”
Wanafanya mipasuko, wanatawanyisha, wanasababisha fitina, wanaleta matatizo, wanaua, vita, wanaandamana, wanachokoza, wanafunga umeme na maji, wanavunja mimea na majanga chungunzima:
وَّإِن تَوَلَّوْا فَإِنَّمَا هُمْ فِي شِقَاقٍ ۖ فَسَيَكْفِيكَهُمُ اللَّـهُ ۚ وَهُوَ السَّمِيعُ الْعَلِيمُ
“… na wakikengeuka basi hakika wao wamo katika upinzani, basi Allaah Atakutosheleza nao – Naye ni Mwenye kusikia, Mjuzi wa yote.” (02:137)
Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wasswaabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://olamayemen.al3ilm.com/
Imechapishwa: 22/05/2022
https://firqatunnajia.com/watu-walio-nyuma-ya-ugaidi-maandamano-na-vurugu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)