Swali: Imamu alisimama katika Rak´ah ya tano katika swalah ya Rak´ah nne. Maamuma baadhi yao wana shaka na wengine wana uhakika. Lakini wote wakasimama pamoja naye.
Jibu: Ambaye ana shaka atasimama. Ambaye ana uhakika anatakiwa kusema:
سبحان الله
”Allaah ametakasika kutokamana na mapungufu.”
سبحان الله
”Allaah ametakasika kutokamana na mapungufu.”
na asisimame.
Swali: Ambaye amefanya kwa kukusudia anatakiwa kuirudi swalah yake?
Jibu: Hapana, hakuna kinachomlazimu muda wa kuwa ni mjinga na hajui hukumu ya ki-Shari´ah.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21682/حكم-من-قام-مع-الامام-لخامسة-لشك-او-جهل
- Imechapishwa: 11/09/2022
Swali: Imamu alisimama katika Rak´ah ya tano katika swalah ya Rak´ah nne. Maamuma baadhi yao wana shaka na wengine wana uhakika. Lakini wote wakasimama pamoja naye.
Jibu: Ambaye ana shaka atasimama. Ambaye ana uhakika anatakiwa kusema:
سبحان الله
”Allaah ametakasika kutokamana na mapungufu.”
سبحان الله
”Allaah ametakasika kutokamana na mapungufu.”
na asisimame.
Swali: Ambaye amefanya kwa kukusudia anatakiwa kuirudi swalah yake?
Jibu: Hapana, hakuna kinachomlazimu muda wa kuwa ni mjinga na hajui hukumu ya ki-Shari´ah.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21682/حكم-من-قام-مع-الامام-لخامسة-لشك-او-جهل
Imechapishwa: 11/09/2022
https://firqatunnajia.com/waswaliji-wenye-kuona-imamu-amezidisha-na-wengine-hawaoni-hivo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)