Swali: Ni ipi hukumu ya kunyoa ndevu katika nchi ambayo wanamshinikiza kila ambaye anafuga ndevu zake kwa hoja kwamba eti ni katika wenye msimamo mkali?
Jibu: Hizi ni dhana za nafsi. Haifai kwake kunyoa ndevu zake kwa sababu ya kuwaogopa watawala. Bali ni lazima kwake kumcha Allaah. Afuge na arefushe ndevu zake. Yuko na kiigizo chema na usalama endapo atanyooka na kuwa mkweli. Asiwaingilie katika kazi zao. Hatoona katika hali zake, biashara zake na kumtii kwake Mola wake isipokuwa kheri tupu.
Wakimtenza nguvu na wakamnyoa hakitomdhuru kitu hicho. Dhambi zitawapata wao. Lakini yeye kunyoa kwa sababu eti wasimkamate, huo ni wasiwasi na upotofu wa shaytwaan.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/2672/حكم-حلق-اللحية-بسبب-الضغط-والاضطهاد
- Imechapishwa: 28/03/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kunyoa ndevu katika nchi ambayo wanamshinikiza kila ambaye anafuga ndevu zake kwa hoja kwamba eti ni katika wenye msimamo mkali?
Jibu: Hizi ni dhana za nafsi. Haifai kwake kunyoa ndevu zake kwa sababu ya kuwaogopa watawala. Bali ni lazima kwake kumcha Allaah. Afuge na arefushe ndevu zake. Yuko na kiigizo chema na usalama endapo atanyooka na kuwa mkweli. Asiwaingilie katika kazi zao. Hatoona katika hali zake, biashara zake na kumtii kwake Mola wake isipokuwa kheri tupu.
Wakimtenza nguvu na wakamnyoa hakitomdhuru kitu hicho. Dhambi zitawapata wao. Lakini yeye kunyoa kwa sababu eti wasimkamate, huo ni wasiwasi na upotofu wa shaytwaan.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/2672/حكم-حلق-اللحية-بسبب-الضغط-والاضطهاد
Imechapishwa: 28/03/2021
https://firqatunnajia.com/wasiwasi-wa-shaytwaan-juu-ya-ndevu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)