Swali: Unasamaje juu ya kitabu “al-Muhallaa” cha Ibn Hazm?
Jibu: Ni kitabu chenye faida kwa wanachuoni. Ama kuhusu wanafunzi wasijishughulishe nacho ili wasije kutumbukia katika yale yanayokwenda kinyume kutokamana na jopo la wanachuoni wengi.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Raabigh (6)
- Imechapishwa: 19/09/2020
Swali: Unasamaje juu ya kitabu “al-Muhallaa” cha Ibn Hazm?
Jibu: Ni kitabu chenye faida kwa wanachuoni. Ama kuhusu wanafunzi wasijishughulishe nacho ili wasije kutumbukia katika yale yanayokwenda kinyume kutokamana na jopo la wanachuoni wengi.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Raabigh (6)
Imechapishwa: 19/09/2020
https://firqatunnajia.com/wasisome-kitabu-al-muhallaa-cha-ibn-hazm/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)