Wasisome kitabu “al-Muhallaa” cha Ibn Hazm

Swali: Unasamaje juu ya kitabu “al-Muhallaa” cha Ibn Hazm?

Jibu: Ni kitabu chenye faida kwa wanachuoni. Ama kuhusu wanafunzi wasijishughulishe nacho ili wasije kutumbukia katika yale yanayokwenda kinyume kutokamana na jopo la wanachuoni wengi.

  • Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Fataawaa Raabigh (6)
  • Imechapishwa: 19/09/2020