Swali: Miongoni mwa wanaostahiki kupewa zakaah ni wale waliotajwa katika maneno Yake (Subhaanahu wa Ta´ala):

 وَفِي سَبِيلِ اللَّـهِ وَابْنِ السَّبِيلِ

“… na katika njia ya Allaah.”[1]

Je, makusudio ni wale wapiganaji peke yao au wanaingia hata wale wanaolingania na wengineo?

Jibu: Makusudio ni wale wapiganaji peke yao; wapiganaji wenye kujitolea ambao hawapati mishahara kutoka serikalini.

[1] 09:60

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (64) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%2019-03-1438H.mp3%2001.mp3
  • Imechapishwa: 09/10/2017