Swali: Mikono inawekwa wapi katika swalah? Ni kwenye kifua au chini ya kitovu? Kuna Hadiyth yoyote Swahiyh kuhusu hilo?
Jibu: Inajuzu kuweka mikono juu ya kifua na chini ya kitovu. Kuna dalili kwa yote mawili. Ijapokuwa dalili ya kuweka juu ya kifua ndio sahihi zaidi. Hivyo imekokotezwa zaidi kuiweka juu ya kifua. Inajuzu kwake kuiweka chini ya kitovu. Yote mawili yanajuzu, lakini lililo bora zaidi ni kuiweka kwenye kifua.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-02.mp3
- Imechapishwa: 28/05/2018
Swali: Mikono inawekwa wapi katika swalah? Ni kwenye kifua au chini ya kitovu? Kuna Hadiyth yoyote Swahiyh kuhusu hilo?
Jibu: Inajuzu kuweka mikono juu ya kifua na chini ya kitovu. Kuna dalili kwa yote mawili. Ijapokuwa dalili ya kuweka juu ya kifua ndio sahihi zaidi. Hivyo imekokotezwa zaidi kuiweka juu ya kifua. Inajuzu kwake kuiweka chini ya kitovu. Yote mawili yanajuzu, lakini lililo bora zaidi ni kuiweka kwenye kifua.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-02.mp3
Imechapishwa: 28/05/2018
https://firqatunnajia.com/wapi-inawekwa-mikono-ndani-ya-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)