Swali: Katika du´aa ya Qunuut mswaliji hunyanyua mikono yake. Ni wapi hutazama? Je, atazame kwa juu au atazame sehemu anaposujudia?
Jibu: Kuhusu kunyanyua macho yake mbinguni haijuzu. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kwa yule mwenye kuswali kunyanyua macho yake mbinguni na akazungumza hilo kwa ukali pale aliposema:
“Watu wataacha kufanya hivo au yatapokonywa macho yao.”
Hii ni adhabu kwao. Hapana shaka kwamba mtu kunyanyua macho yake mbinguni kunapingana na kuwa na adabu kwa Allaah. Kwa hivyo kuwa mnyenyekevu!
Kuhusu anatazama wapi wakati amenyanyua mikono yake kwa ajili ya kuomba du´aa, anatakiwa kutazama mbele yake.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (41) http://binothaimeen.net/content/1620
- Imechapishwa: 27/05/2018
Swali: Katika du´aa ya Qunuut mswaliji hunyanyua mikono yake. Ni wapi hutazama? Je, atazame kwa juu au atazame sehemu anaposujudia?
Jibu: Kuhusu kunyanyua macho yake mbinguni haijuzu. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kwa yule mwenye kuswali kunyanyua macho yake mbinguni na akazungumza hilo kwa ukali pale aliposema:
“Watu wataacha kufanya hivo au yatapokonywa macho yao.”
Hii ni adhabu kwao. Hapana shaka kwamba mtu kunyanyua macho yake mbinguni kunapingana na kuwa na adabu kwa Allaah. Kwa hivyo kuwa mnyenyekevu!
Kuhusu anatazama wapi wakati amenyanyua mikono yake kwa ajili ya kuomba du´aa, anatakiwa kutazama mbele yake.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (41) http://binothaimeen.net/content/1620
Imechapishwa: 27/05/2018
https://firqatunnajia.com/wapi-anapotazama-mwenye-kuomba-duaa-ndani-ya-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)