Swali: Mimi ni imamu wa msikiti. Wakati mwingine wanakuja waombaji na kuwaomba watu. Je, niwazuie na kuwafanyia ukali katika hilo au niwaachie kwa ajili ya kitengo maalum kinachoshughulikia mambo hayo?
Jibu: Waache kwa ajili ya kitengo hicho maalum. Kwa sababu ukianza kuwazuia basi kutakuwa na vurugu msikitini. Pia jambo hili ni gumu kwako kwa sababu wewe sio askari msikitini. Kitengo maalum ndio kitawafatilia.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ma´aalim Manhaj Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah, uk. 50
- Imechapishwa: 08/06/2021
Swali: Mimi ni imamu wa msikiti. Wakati mwingine wanakuja waombaji na kuwaomba watu. Je, niwazuie na kuwafanyia ukali katika hilo au niwaachie kwa ajili ya kitengo maalum kinachoshughulikia mambo hayo?
Jibu: Waache kwa ajili ya kitengo hicho maalum. Kwa sababu ukianza kuwazuia basi kutakuwa na vurugu msikitini. Pia jambo hili ni gumu kwako kwa sababu wewe sio askari msikitini. Kitengo maalum ndio kitawafatilia.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ma´aalim Manhaj Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah, uk. 50
Imechapishwa: 08/06/2021
https://firqatunnajia.com/waombaji-nje-ya-msikiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)