Swali: Wanawake waliyomilikiwa na mikono ya kiume wanapatikana hii leo au ni jambo maalum linalopatikana kupitia Jihaad inayokubalika katika Shari´ah pale inapotokea?
Jibu: Ni jambo limeambatana na Jihaad. Kukipatikana Jihaad kunapatikana pia wanawake wanaomilikiwa na mikono ya kiume.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (72) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighassat%20-11-01-1439h.mp3
- Imechapishwa: 16/12/2017
Swali: Wanawake waliyomilikiwa na mikono ya kiume wanapatikana hii leo au ni jambo maalum linalopatikana kupitia Jihaad inayokubalika katika Shari´ah pale inapotokea?
Jibu: Ni jambo limeambatana na Jihaad. Kukipatikana Jihaad kunapatikana pia wanawake wanaomilikiwa na mikono ya kiume.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (72) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighassat%20-11-01-1439h.mp3
Imechapishwa: 16/12/2017
https://firqatunnajia.com/wanawake-wanaomilikiwa-na-mikono-ya-kiume-wako-leo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)