Swali: Ni zipi nasaha zako juu ya wanawake wengi wenye kuonyesha mapambo wanapotoka kwenda kuswali swalah ya ´iyd?
Jibu: Haijuzu kufanya hivi. Ni maovu. Ni lazima kuwazuia kufanya hivo. Wasijitie manukato, wasijipambe na wala wasionyeshe kitu. Wanatakiwa kutoka hali ya kujisitiri, hali ya kutojipamba, hali ya kutojitia manukato. Kwa sababu hii ni fitina. Akitoka hali hii hatafuti thawabu bali anachotafuta ni fitina. Kama kweli anatafuta thawabu basi anyenyekee, ajisitiri na hali ya kuwa na haya.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (14) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-03-11-1434.mp3
- Imechapishwa: 09/08/2019
Swali: Ni zipi nasaha zako juu ya wanawake wengi wenye kuonyesha mapambo wanapotoka kwenda kuswali swalah ya ´iyd?
Jibu: Haijuzu kufanya hivi. Ni maovu. Ni lazima kuwazuia kufanya hivo. Wasijitie manukato, wasijipambe na wala wasionyeshe kitu. Wanatakiwa kutoka hali ya kujisitiri, hali ya kutojipamba, hali ya kutojitia manukato. Kwa sababu hii ni fitina. Akitoka hali hii hatafuti thawabu bali anachotafuta ni fitina. Kama kweli anatafuta thawabu basi anyenyekee, ajisitiri na hali ya kuwa na haya.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (14) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-03-11-1434.mp3
Imechapishwa: 09/08/2019
https://firqatunnajia.com/wanawake-wanaokwenda-kuswali-iyd-wakionyeshe-mapambo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)