Swali: Ni ipi nasaha yako kwa yule mwenye kuishi katika mji ambapo wamekataza Niqaab na vipi mtu atataamiliana na kanuni hizi?
Jibu: Awahifadhi wanawake zake na ashikamane na Niqaab. Wao hawakatazi Niqaab isipokuwa kwenye vyuo vyao na sehemu zao (za hadharani) wanapokutana. Usiende sehemu kama hizi. Usiende kwenye vyuo vya makafiri na minasaba yao. Usiende sehemu zao kama mwanamke wa Kiislamu. Baki nyumbani na kwenye makazi yako na himdi zote ni za Allaah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (30) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-6-9.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Ni ipi nasaha yako kwa yule mwenye kuishi katika mji ambapo wamekataza Niqaab na vipi mtu atataamiliana na kanuni hizi?
Jibu: Awahifadhi wanawake zake na ashikamane na Niqaab. Wao hawakatazi Niqaab isipokuwa kwenye vyuo vyao na sehemu zao (za hadharani) wanapokutana. Usiende sehemu kama hizi. Usiende kwenye vyuo vya makafiri na minasaba yao. Usiende sehemu zao kama mwanamke wa Kiislamu. Baki nyumbani na kwenye makazi yako na himdi zote ni za Allaah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (30) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-6-9.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/wanawake-wafanye-nini-katika-miji-ambapo-wamekataza-niqaab/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)