Swali: Kuna mwanamke anafunza Qur-aan msikitini na wakati mwingine inamjia hedhi yuko msikitini. Je, akiwa katika hali hiyo inafaa kwake kwenda kuwafunza dada zake Qur-aan msikitini?
Jibu: Hapana. Kwanza kitendo chake cha yeye kwenda kufunza msikitini kinatakiwa kuangaliwa vizuri. Anatakiwa kufunza nyumbani kwake. Kitendo cha mwanamke kwenda kufunza nje ya nyumba yake kimesababisha kupotea kwa haya na wanawake kuchukua usahali wa kutoka. Waje nyumbani kwake kujifunza kwake. Hili ni bora zaidi. Mwanamke asiende msikitini. Inahusu wale wanafunzi na mwalimu. Wasende hata mahala pa kuswalia (Muswallaa).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
- Imechapishwa: 20/11/2016
Swali: Kuna mwanamke anafunza Qur-aan msikitini na wakati mwingine inamjia hedhi yuko msikitini. Je, akiwa katika hali hiyo inafaa kwake kwenda kuwafunza dada zake Qur-aan msikitini?
Jibu: Hapana. Kwanza kitendo chake cha yeye kwenda kufunza msikitini kinatakiwa kuangaliwa vizuri. Anatakiwa kufunza nyumbani kwake. Kitendo cha mwanamke kwenda kufunza nje ya nyumba yake kimesababisha kupotea kwa haya na wanawake kuchukua usahali wa kutoka. Waje nyumbani kwake kujifunza kwake. Hili ni bora zaidi. Mwanamke asiende msikitini. Inahusu wale wanafunzi na mwalimu. Wasende hata mahala pa kuswalia (Muswallaa).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
Imechapishwa: 20/11/2016
https://firqatunnajia.com/wanawake-kutokatoka-majumbani-mwao-chanzo-cha-kupotea-kwa-haya/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)