Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke kwenda msikitini kwa ajili ya kuliswalia jeneza?
Jibu: Hakuna neno kufanya hivo akaenda na kuliswalia jeneza. Baada ya kufariki kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) walikuja wanawake na wakamswalia (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) mmojammoja. Kila mwanamke alikuwa akimswalia kivyake kisha anaenda na kuja mwengine.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (105) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/20-03-1441-H-%20igah.mp3
- Imechapishwa: 10/10/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke kwenda msikitini kwa ajili ya kuliswalia jeneza?
Jibu: Hakuna neno kufanya hivo akaenda na kuliswalia jeneza. Baada ya kufariki kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) walikuja wanawake na wakamswalia (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) mmojammoja. Kila mwanamke alikuwa akimswalia kivyake kisha anaenda na kuja mwengine.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (105) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/20-03-1441-H-%20igah.mp3
Imechapishwa: 10/10/2020
https://firqatunnajia.com/wanawake-kuswalia-jeneza-msikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)