Swali: Napenda kuuliza hukumu ya wanawake kufukiza uvumba katika majumba ya harusi wakati wa matamasha. Je, ni katika mambo yanayofaa Kishari´ah pamoja na kuzingatia kwamba imekuwa ni miongoni mwa desturi za watu wakati wa harusi zao. Wakati mwingine mwanamke anaweza kutoka pamoja na dereva au mwanaume ambaye si Mahram kwake.
Jibu: Hafai wakatumia haya. Wanawake wasitumie uvumba. Isipokuwa ikiwa kama atakupizia sehemu pasi na mwanamke kuchukua nguo zake na kuzipulizia. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwanamke yeyote ambaye amepatwa na uvumba basi asishuhudie pamoja nasi swalah ya ´Ishaa.”
Hapa kunamaanishwa swalah zote. Lakini kwa mfano atapulizia uvumba huu sehemu maalum au katika safu mbalimbali bila mwanamke huyo kuchukua uvumba huo na kuanza kujipulizia mwenyewe, hakuna neno kufanya hivo.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (54) http://binothaimeen.net/content/1242
- Imechapishwa: 22/09/2019
Swali: Napenda kuuliza hukumu ya wanawake kufukiza uvumba katika majumba ya harusi wakati wa matamasha. Je, ni katika mambo yanayofaa Kishari´ah pamoja na kuzingatia kwamba imekuwa ni miongoni mwa desturi za watu wakati wa harusi zao. Wakati mwingine mwanamke anaweza kutoka pamoja na dereva au mwanaume ambaye si Mahram kwake.
Jibu: Hafai wakatumia haya. Wanawake wasitumie uvumba. Isipokuwa ikiwa kama atakupizia sehemu pasi na mwanamke kuchukua nguo zake na kuzipulizia. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwanamke yeyote ambaye amepatwa na uvumba basi asishuhudie pamoja nasi swalah ya ´Ishaa.”
Hapa kunamaanishwa swalah zote. Lakini kwa mfano atapulizia uvumba huu sehemu maalum au katika safu mbalimbali bila mwanamke huyo kuchukua uvumba huo na kuanza kujipulizia mwenyewe, hakuna neno kufanya hivo.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (54) http://binothaimeen.net/content/1242
Imechapishwa: 22/09/2019
https://firqatunnajia.com/wanawake-kupulizia-udi-na-uvumba-katika-kumbi-za-harusi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)