Swali 29: Ni ipi hukumu ya mwenye kuingia Marekani kwa kubadilisha jina?
Jibu: Anahesabika ni mwongo. Haifai isipokuwa kwa dharurah. Katika hali hiyo akiulizwa jina lake anaweza kusema kuwa yeye anaitwa ´Abdullaah mwana wa ´Abdir-Rahmaan mwana wa ´Abdil-Latwiyf. Wewe ni ´Abdullaah (mja wa Allaah). Baba yako ni mwana wa ´Abdur-Rahmaan. Babu yako ni mwana wa ´Abdil-Latwiyf. Mfano wa kitu kama hichi kinafaa. Lakini usisemi kuwa jina lako ni ´Abdullaah. Bali sema kuwa wewe ni ´Abdullaah na baba yangu ni ´Abdir-Rahmaan. Mfano wa hivi inafaa. Kwa sababu sote sisi ni waja wa Allaah (´Azza wa Jall). Vinginevyo atazingatiwa kuwa ni mwongo.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tuhfat-ul-Mujiyb, uk. 70
- Imechapishwa: 24/10/2019
Swali 29: Ni ipi hukumu ya mwenye kuingia Marekani kwa kubadilisha jina?
Jibu: Anahesabika ni mwongo. Haifai isipokuwa kwa dharurah. Katika hali hiyo akiulizwa jina lake anaweza kusema kuwa yeye anaitwa ´Abdullaah mwana wa ´Abdir-Rahmaan mwana wa ´Abdil-Latwiyf. Wewe ni ´Abdullaah (mja wa Allaah). Baba yako ni mwana wa ´Abdur-Rahmaan. Babu yako ni mwana wa ´Abdil-Latwiyf. Mfano wa kitu kama hichi kinafaa. Lakini usisemi kuwa jina lako ni ´Abdullaah. Bali sema kuwa wewe ni ´Abdullaah na baba yangu ni ´Abdir-Rahmaan. Mfano wa hivi inafaa. Kwa sababu sote sisi ni waja wa Allaah (´Azza wa Jall). Vinginevyo atazingatiwa kuwa ni mwongo.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tuhfat-ul-Mujiyb, uk. 70
Imechapishwa: 24/10/2019
https://firqatunnajia.com/wanaobadilisha-majina-wanapoenda-miji-ya-kikafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)