Swali: Kuna mlinganizi ambaye yuko na alama za kheri lakini hata hivyo anamkufurisha Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab na Shaykh Ibn Baaz (Rahimahumaa Allaah). Ni ipi hukumu ya kitendo hichi na unaninasihi nini juu ya mtu huyu?
Jibu: Haya ni matendo ya Khawaarij. Khawaarij ndio ambao wanawakufurisha wanachuoni na waislamu. Haya ni matendo ya Khawaarij – Khawaarij ni kipote kinachotoka katika dini:
“Wanatoka katika dini kama ambavo mshale unatoka kwenye upinde wake.”[1]
[1] al-Bukhaariy (6/376) na Muslim (2/742).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (82) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-08-3-1439-01.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2018
Swali: Kuna mlinganizi ambaye yuko na alama za kheri lakini hata hivyo anamkufurisha Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab na Shaykh Ibn Baaz (Rahimahumaa Allaah). Ni ipi hukumu ya kitendo hichi na unaninasihi nini juu ya mtu huyu?
Jibu: Haya ni matendo ya Khawaarij. Khawaarij ndio ambao wanawakufurisha wanachuoni na waislamu. Haya ni matendo ya Khawaarij – Khawaarij ni kipote kinachotoka katika dini:
“Wanatoka katika dini kama ambavo mshale unatoka kwenye upinde wake.”[1]
[1] al-Bukhaariy (6/376) na Muslim (2/742).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (82) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-08-3-1439-01.mp3
Imechapishwa: 11/02/2018
https://firqatunnajia.com/wanamkufurisha-ibn-baaz-na-ibn-abdil-wahhaab/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)